/*URL: http://www.AllBlogTools.com/ */ .basictab{ padding: 3px 0; margin-left: 0; font: bold 12px Verdana; border-bottom: 1px solid gray; list-style-type: none; text-align: left; /*set to left, center, or right to align the menu as desired*/ } .basictab li{ display: inline; margin: 0; } .basictab li a{ text-decoration: none; padding: 3px 7px; margin-right: 3px; border: 1px solid gray; border-bottom: none; background-color: #f6ffd5; color: #2d2b2b; } .basictab li a:visited{ color: #2d2b2b; } .basictab li a:hover{ background-color: #DBFF6C; color: black; } .basictab li a:active{ color: black; } .basictab li.selected a{ /*selected tab effect*/ position: relative; top: 1px; padding-top: 4px; background-color: #DBFF6C; color: black; }

Monday, December 31, 2012

THE CELEB'S PROFILE

                   MJUE ''RONALDINHO GAUCHO KWA UFUPI


Jina lake kamili ni Ronaldo de Assin Moreira.
Ana urefu wa 1.81cm.
Amezaliwa tarehe 21 Machi 1980 huko Porto Alegre-Rio Grande do sul Brazil.
Ni mchezaji wa mpira wa miguu nafasi ya kiungo mshambuliji{Midfielder/Forward}.

KLABU ALIZOCHEZA
Gremio 1998-2001
Paris saint Germain 2001-2003
Barcelona 2003-2008
Milan 2008-2010
Flamengo 2011-2012
Atletico Mineiro 2012-


MAISHA KWA UFUPI

Ndoto yake ya kuwa mchezaji ilianza akiwa na umri wa miaka 8 na ndicho kipindi alichopewa jina la Ronaldinho kutokana na alikuwandiye mchezaji mdogo na mfupi zaidi kwenye klabu aliyochezea.
Alianza kufahamika mwaka 1997 kwenye ubingwa wa dunia chini ya umri wa miaka 17 huko nchini Misrialipofunga mabao mawili kwa mikwaju ya penati.

Ronaldinho ana mtoto mmoja aitwaye JOAO aliyezaa na Janaina Mendez mnamo Februari 25 mwaka 2005.

TUZO

Mchazaji Bora wa mwaka wa FIFA mwaka 2004 na 2005 pia mchezaji bora wa ulaya......continues

TRIVIA

*Ni mchezaji wa kibrazil mwenye soko zaidi duniani
*Amefanya matangazo na kampuni kubwa zaidi kama PEPSI,NIKE,LENOVO nk

Friday, November 9, 2012

KITUKO CHA WIKI

kuna jamaa mmoja alipokuwa akisafiri mke wake analalamika kuwa anaogopa kulala peke yake huku akimuuliza kuwa atarudi lini,isku moja wameketi mezani kwaajili ya chakula familia nzima yaani huyo jamaa,mke wake,dada wakazi na mtoto wao mmoja.
MWANAUME=mke wangu wewe nimuoga sana na uoga wako umezidi
MWANAMKE=kwanini umesema hivyo?
MWANAUME=unaogopa kulala peke yako humu ndani!
MTOTO=baba wewe ni muoga sana kuliko mama kwasababu ukisafiri mama ananichukua mimi nalalanae chumbani,wewe mama akisafiri unanchukua dada{mfanyakazi}unalalanae chumbani uoni wewe ndio muoga dada ni mkubqa mimi ni mdogo?wote wakabaki midomo wazi

MSHINDI WA EPIQ BONGO STAR SEARCH 2012

walter chilambo ndiye mshindi wa epiq bongo star search 2012

The Legendary Afrodino
* Madame Rita Paulsen akimpoza Mshindi wa Epiq Bongo Star Search 2012 Walter Chilambo ambaye amehemewa kwa furaha baada ya kushinda mtanange huo usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es salaam. * ** *Mashabiki wakishangilia* ** *Mshindi wa EBSS 2912 Walter Chilambo akikabidhiwa mkwanja wake wa shilingi milioni 50 cash hapo hapo jukwaani*

Sunday, October 21, 2012

HEADLINES BONGO5

Lord Eyez bado anashikiliwa na polisi

Habari kubwa weekend hii kwenye website, blogs za burudani na mitandao
ya kijamii nchini ni kuhusiana na tukio la rapper wa kundi la Nako 2
Nako, Lord Eyez kudaiwa kuhusika kwenye wizi wa baadhi ya vifaa vya
gari la msanii mwenzie Ommy Dimpoz... Read more..bongo5.com

Tundaman kusimamia kazi za Chidi Benz, asema 'nimejipanga kumrudisha
Chidi kama zamani'

Kupitia blog yake, muimbaji Khalid Ramadhan Tunda aka Tundaman
ametangaza kuwa yeye ndiye msimamizi rasmi wa kazi za rapper Chidi
Benzi kwa sasa.. Read more...

Lord Eyez akamatwa kwa kuiba spea za gari la Ommy Dimpoz


Jana msanii Ommy Dimpoz aliandika kupitia twitter na BBM:

"wezi wa power windows wakiongozwa na msanii mwenzangu wa bongo flava
Lord Eyez ndo wameiba mpaka plate number tumeshamkamta"... Read
more...


Exclusive: Chris Brown anaweza kutua Tanzania mwezi December


Unakumbuka tuliwahi kuandika kuwa baada ya Rick Ross kupiga show
kwenye Fiesta mwaka huu kuna msanii mwingine mkubwa anaweza kuja
Tanzania hivi karibuni? Well, msanii huyo anaweza kuwa ni Chris Brown.
Read more..

Lucci has a new studio

Tanzania unsung Producer Luciano Tsere popularly known as LucciDaDon
has finally settled on his very own studio which is located around
Mbezi, a city suburb in Dar-Es-Salaam.

Read more bongo5.com

Linked by Da Legendary Afrodino

Saturday, October 20, 2012

KITUKO CHA WIKI "Muuza Karanga"

Bosi alikuwa anapitapita kukagua Site yake ya Ujenzi huku wafanya kazi
wengi wakiwa Bize mno.
Katika pitapita mara akamuona Kijana mmoja ameegemea ukuta alafu
anasinzia,,Bosi akachukia Sana akamshtua yule kijana pale chini kwa
hasira na kumuuliza "Unafanya nini hapo?" Wakati kijana akijiandaa
kujibu bosi akamdaka swali lingine "Kwani unapata shilingi ngapi kwa
mwezi?" Kijana kwa woga akajibu "Elfu Hamsini (50,000)"
Kusikia vile Bosi akafungua pochi lake na kutoa Laki Moja (100,000)
kisha akamkabidhi na kumwambia haya potea sitaki Vijana wazembe eneo
langu la kazi..Yule kijana huku kwa wasiwasi akaondoka,
Bosi akamwita kijana mwingine aliye jirani anaendelea na kazi kisha
akamuuliza "Hivi yule kijana aliyekaa hapa alikuwa anafanya kazi
gani?"
Kijana akajibu "Yule ni muuza KARANGA huwa anapita hapa kila siku"
* * * * * * * * * *

BONGO5 HEADLINES

Waliyoandika mastaa kuhusiana na vurugu za Dar

Kwa zaidi ya saa nne mada kwenye mitandao ya kijamii kuanzia mchana
ilikuwa ni hali ya vurugu iliyokuwa ikiendelea katika maeneo
mbalimbali ya Dar es Salaam baada ya waislam kufanya maandamano katika
maeneo hayo... more at www.bongo5.com

Kariakoo palichafuka, mabomu yakapigwa kila kona

Habari zilizotufikia leo zilidai kuwa kulikuwa na hali mbaya katika
maeneo ya Kariakoo jijini Dar e Salaam ambapo polisi walipiga mabomu
ya machozi kutawanya waislam walioandamana.

Kwa mujibu wa watu waliopo kwenye maeneo hayo maduka mengi yalifungwa
na watu walijifungia kwenye maduka hayo.. Read more...

Ukweli kuhusu picha za Aunt Ezekiel zinazomuonesha kwenye vazi la Bibi Harusi

Kuanzia jana zimesambaa picha za muigizaji mahiri wa filamu nchini
Tanzania, Aunt Ezekiel zinazomuonesha akiwa amevaa nguo za Bibi Harusi
katika ndoa ya kiislam na huku akiweka saini kwenye kitabu.

Picha hizo zimesababisha blogs na website nyingi kuandika kwa mashaka
kuwa ni kweli msanii huyo ameolewa?... Read more...

Song : Kamikaze ft Sharobaro – Utamu wa Chocolate

Hii ngoma imefanyika katika studio za Sharabaro Records. Listen here...

Nisha wa Bongo Movies arekodi wimbo kuhusu maisha yake

Muigizaji wa filamu aliyehamia pia kwenye muziki wa Bongo Flava,
Nisha, ameachia wimbo mpya ambao ameutumia kuzungumzia maisha yake.

Wimbo huo unaitwa 'Ukweli Ndio Dawa'.. Read more...

Billboard ya Kidoti Hair yaingia mtaani

Ukiambiwa kutaja majina ya wajasiriamali wapya na vijana nchini,
hutakiwi kuacha kumtaja Jokate Mwegelo. Mrembo na VJ huyu wa Channel
O, hivi karibuni ameingiza bidhaa zake za nywele zilizochini ya jina
la Kidoti... Read more...

TPF5 wazindua album ya Top 10

Kampuni ya East Africa Breweries pamoja na universal Music Group
waliandaa hafla maalum ya kuzindua album ya Tusker Project Fame Season
5 Top Ten, ambayo ilifanyika jana usiku katika hoteli ya kitalii Tribe
jijini Nairobi. Read more...

Flaviana Matata kwenye jarida la Schön! La Uingereza

Miss Universe wa zamani Flaviana Matata hivi karibuni akiwa na warembo
wengine , Stella Vaudran na Tiara Young walishirikishwa kwenye jarida
maarufu la fashion la Schön!
Jarida hilo lina makao yake makuu nchini Uingereza na hutoka kila
mwezi na lilianzishwa June 2009. Read more...

Size 8 ajitoa kwenye tuzo za Kisima

Muimbaji wa kike wa nchini Kenya Size 8 amekuwa msanii wa tatu
kutangaza kujiondoa kwenye tuzo za Kisima baada DNA na Daddy Owen
kutangaza wiki iliyopita.

Read more
on bongo5.com

Friday, October 12, 2012

KITUKO CHA WIKI

SHIDA KITU KIBAYA USIIENDEKEZE:

Mzee mmoja aliongozana na binti yake kwenda kwa mwanaume aliyempa mimba binti yake huku akitweta kwa hasira na kusema kimoyomoyo "leo huyu kijana atanitambua".
Walipofika ilikuwa hivi,
KIJANA> Mzee ni kweli nimempa mimba bintiyo lakini naahidi Kama atazaa DUME nitakupa daladala 10 Sheli 3 na Milioni 50..Kama akizaa jike nitakupa Supermarket 3 Mashamba 6 na Milioni 40.
Binti aliyepewa mimba akasema  "honey Kama Mimba Ikiharibika je?
MZEE akadakia "Kelele pumbavu mkubwa wewe,Ikiharibika si atakupa nyingine.....

Vurugu zazuka kati ya polisi na kundi la Waislam Dar Es Salaam Octoba 12 2012

Tuesday, October 2, 2012

* * ** *"Asante mungu wa mbinguni kwa kunipa mwaka mwingine katika maisha yangu,kupitia marehemu baba yangu mchungaji misheli singoye na mama yangu mpendwa frazia, niko katika dunia hii mpaka leo,ninawashukuru kwa kunilea mpaka nilipoweza anza maisha mapya ya ndoa na mume wangu mpendwa edmund msangi,nawapenda wanangu kelvin&larry mungu awakuze mfikie umri wangu,dada na kaka zangu pamoja na marafiki zangu wa kweli mmekuwa nguzo yangu ,thank you all ".# Angella Michael Ms Msangi

Saturday, September 29, 2012

KITUKO CHA WIKI

Mzungu mmoja alipita na sokwe wake karibu na Muuza ndizi
Mara yule sokwe akapora ndizi moja na kuila..Muuza ndizi akakasirika na kumwambia mzungu "Unaona eeh dudu lako limepora ndizi yangu lazima unilipe"
Mzungu akajibu "Acha kumaindi vitu vidogo wewe ndizi kala ndugu yako mi nikulipe nini je angekula mtu baki?"
Basi yule mzungu akatoka kidogo na kumuacha sokwe pale kwa muuza ndizi
. . .Aliporudi akamkuta sokwe wake kafa ikabidi aanze kufoka kwa hasira "khaa we muuza ndizi kwanini umemuua sokwe wangu?"
Muuza ndizi akajibu "Ni mambo ya kifamilia mimi na ndugu yangu we hayakuhusu"

Monday, September 17, 2012

VIOJA MSIBANI

Ilikuwa msibani ndugu jamaa na marafiki walipata fursa ya kueleza namna walivyoguswa na kuupokea msiba.
Miongoni mwa watu waliopata fursa hiyo alikuwa ni Mmakonde aliyetambulika kwa jina la Mududu Malekebo alisimama na kuanza kwa kusema "Msiba ooyeee!!"
Watu wote wakaguna na kulalamaa "aaah huyu vipi!!" Bwana Malekebo hakujali akaendelea kwa kusema "Marehemu suti zimempendeza hazijampendeza???. . .Kilichofuata wenye uchungu na kufiwa wakamdaka kumvuta chemba na kumpa kisago kizito.

Sunday, September 16, 2012

BANGI SI MCHEZO

Jamaa kaikoleza bangi si ikamtuma avue nguo!! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo kujitazama akajiona kama kavaa suti
Kisha akatoka nje kama alivyo mpaka kijiweni kwa masela wenzake kisha akawauliza "Oya vipi wanangu hii suti vipi nimetoka shikopa eeh" Msela mmoja akajibu "Daah imekutoa ila TAI umeifunga chini sana"

SoloThang "I Am Travellah": Solo Thang "MISS TANZANIA"

SoloThang "I Am Travellah": Solo Thang "MISS TANZANIA"

Tuesday, June 19, 2012

The way easy to use facebook the much people are interested on it rather other social netwerks./Click here to like my page and get updated with fantastic posts www.facebook.com/Stahmy...Also follow me on www.twitter.com/stahmyjunior.

Monday, June 18, 2012

Learn Swahili When you want to say Applicant in swahili.... MWOMBAJI | MUOMBAJI. Which is correct?