/*URL: http://www.AllBlogTools.com/ */ .basictab{ padding: 3px 0; margin-left: 0; font: bold 12px Verdana; border-bottom: 1px solid gray; list-style-type: none; text-align: left; /*set to left, center, or right to align the menu as desired*/ } .basictab li{ display: inline; margin: 0; } .basictab li a{ text-decoration: none; padding: 3px 7px; margin-right: 3px; border: 1px solid gray; border-bottom: none; background-color: #f6ffd5; color: #2d2b2b; } .basictab li a:visited{ color: #2d2b2b; } .basictab li a:hover{ background-color: #DBFF6C; color: black; } .basictab li a:active{ color: black; } .basictab li.selected a{ /*selected tab effect*/ position: relative; top: 1px; padding-top: 4px; background-color: #DBFF6C; color: black; }

Sunday, July 21, 2013

BI KIDUDE

MJUE BI KIDUDE KWA UFUPI



Jina lake kamili ni Fatuma Binti Baraka,amezaliwa mnamo miaka ya 1910's huko Zanzibar.

Amefariki mnamo Tarehe 17 April 2013.

KAZI YAKE
Mwimbaji wa muziki aina ya Taarab pia ni kungwi.

MAISHA YAKE KWA UFUPI

Bi Kidude alizaliwa katika kijiji cha Mfagimaringo huko Tanzania visiwani/Zanzibar,alikuwa ni binti wa mfanya biashara ya nazi..Bi kadude alilazimika kukimbilia Dar es salaam baada ya kulazimishwa aolewe akiwa na umri wa miaka 13.
Rekodi zake kimuziki zilianza miaka ya 1930's.
Miaka ya 1940's alirudi tena Zanzibar na kuendelea na shughuli zake.
Miongoni mwa nyimbo alizofanya ni pamoja na YA LAITI M,UHOGO WA JANGOMBE,KIJITI,BOMWAZANI WA MAHABA,BERU NK. Pia ameshirikishwa kwenye nyimbo kadhaa kama Ahmada ya Offside Trick,Juhudi za wasiojiweza na Fid Q nk.

TUZO

* WOMEN AWARD 2005
* Sports and Arts award of all time 2012 ambayo alitunukiwa na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

TRIVIA

Inasadikika Bi Kidude hakufanikiwa kuwa na mtoto wa kuzaa.

BAADHI YA VIDEOS







No comments:

Post a Comment