/*URL: http://www.AllBlogTools.com/ */ .basictab{ padding: 3px 0; margin-left: 0; font: bold 12px Verdana; border-bottom: 1px solid gray; list-style-type: none; text-align: left; /*set to left, center, or right to align the menu as desired*/ } .basictab li{ display: inline; margin: 0; } .basictab li a{ text-decoration: none; padding: 3px 7px; margin-right: 3px; border: 1px solid gray; border-bottom: none; background-color: #f6ffd5; color: #2d2b2b; } .basictab li a:visited{ color: #2d2b2b; } .basictab li a:hover{ background-color: #DBFF6C; color: black; } .basictab li a:active{ color: black; } .basictab li.selected a{ /*selected tab effect*/ position: relative; top: 1px; padding-top: 4px; background-color: #DBFF6C; color: black; }

Sunday, January 13, 2013

HIFIKEPUNYE POHAMBA

MJUE HIFIKEPUNYE POHAMBA KWA UFUPI



Jina lake kamili ni Hifikepunye Lucas Pohamba,Mzaliwa wa Okanghundi huko Namibia.
Amezaliwa Agosti 18,1935

KAZI YAKE

Ni Raisi wa pili wa Jamhuri ya Namibia kupitia chama cha SOUTH WEST PEOPLE'S ORGANIZATION [SWAPO] baada ya Sam Nujoma 1990-2005.Ni raisi wa sasa mpaka kufikia uchaguzi wa 2014.

MAISHA KWA UFUPI

Mkewe anaitwa Penehufipo Pohamba,ni baba wa watoto watatu,Kaupu,Tulongeni na Ndapandula.
Pohamba amekulia katika maisha ya kiroho ya dhehrbu la Anglican ambapo pia alipata elimu yake katika shule ya kimishenari...Kufikia umri wa miaka 25 Pohamba alijikita kwenye siasa ndani ya chama cha South West People's Organization[SWAPO].
Aliwahi kuwa mfungwa wa kisiasa ambapo alitumikia miezi minne jela na baadae kifungucha ndani miaka miwili.

NYADHIFA KABLA HAJAWA RAISI

*Waziri wa mambo ya ndani 1990-1995
*Waziri wa uvuvi na rasirimali za majini 1995-1997
*Waziri asiya na wizara maalum 1997-2000
*Katibu mkuu wa SWAPO 1997
*Makamu m/kiti wa SWAPO 2002
*Waziri wa ardhi 2001-2005

Pohamba alishinda katika uchaguzi wa 2009.

TRIVIA

*Alipata takribani kura 213 kati ya 526 katika raundi ya kwanza ya uchaguzi wa 2004 na kura 341 katika raundi ya pili.
*Amewahi kupata tuzo ya ujasiri ''Ongulumbashe Medal''
...........................  

No comments:

Post a Comment